Mafunzo elekezi kwa Maafisa Manunuzi wa OR-TMSMIM
23 Jun 2022

Mafunzo elekezi kwa Maafisa Manunuzi wa OR-TMSMIM

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, Issa Mahfoudh Haji, amesema miradi mingi inayotekelezwa ya ujenzi, imekuwa ikikabiliwa na kasoro za manunuzi. Akifungua mafunzo ya siku mbili Kwa maafisa manunuzi wa Ofisi hiyo, amesema tatizo hilo litapata ufumbuzi Kwa kuwajengea uwezo watendaji waweze kuielewa vyema Sheria ya manunuzi.

Amesema uelewa wa Sheria ya manunuzi na uondoshaji wa Mali za umma, iwe ni chanzo muhimu cha kuleta mabadiliko ya kiutendaji.

Akiwasilisha mada ya Sheria ya manunuzi, Mkufunzi Hafidh Rashid, amesema kuwepo Kwa Sheria hiyo kutaimarisha utawala bora, kulinda haki na wajibu, kutatua migogoro ya ununuzi na na kuishauri Serikali kuhusiana na ununuzi. 3/6/2022 ZANZIBAR.

BOFYA HAPA KUPATA TAARIFA KWA NJIA YA VIDEO.

 mfz  utm7
 utm6  utm5
Last modified on Thursday, 23 June 2022 13:29
Rate this item
(0 votes)

Wasiliana nasi


Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ

2277 Barabara ya Vuga,

S.L.P 4220,

70401 Mjini Magharibi,

Tel: +255242230034

Fax: +255242230034

Barua pepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Waliotembelea Tovuti

3716297
Today
Yesterday
This Week
This Month
All days
258
71
2496
19654
3716297