Viongozi wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ wakizungumza na watumishi wa Ofisi hiyo wakati wa mafunzo ya kujenga uwezo wa kuzitambua kanuni za utumishi. Mafunzo hayo yalifanyika siku ya tarehe 22 Juni, 2022 katika ukumbi wa Mikutano wa Baraza la Mji Magharib “B”
BOFYA HAPA KUPATA TAARIFA KWA NJIA YA VIDEO.
|
|
|