• ZIARA YA KIKAZI KIKOSI CHA ZIMAMOTOMhe. ldrissa Kitwana Mustafa amewataka watendaji wa ldara Maalum za SMZ kufanya kazi kwa misingi iliyowekwa ili kufikia malengo yaliotarajiwa..
  • ZIARA YA KIKAZI CHUO CHA MAFUNZOWazir wa Nchi Ofisi Y Rais Tawala Za Mikoa Serikali Za Mitaa na Idara Maalum Za SMZ. Mhe Idrissa Kitwana Mustafa Akikagua Gwaride Maalum Wakati Alipowasili Makao Makuu Chuo Cha Mafunzo Zanzibar..
  • ZIARA YA KIKAZIWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amefanya ziara ya kikazi na kutembelea Ujenzi wa Dahalia ya wanafunzi wa Skuli ya JKU.
  • ZIARA YA KIKAZIWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa amefanya ziara ya kikazi na kutembelea Ofisi ya Wakala wa Usajili wa Matukio ya kijamii Zanzibar.
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA MAPINDUZIAfisa Mdhamin OR-TAMISEMIM Ndg. Thabit Othman Abdalla akisaini kitabu cha wageni Wakati alipotembelea banda la Ofisi hiyo..
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA MAPINDUZINibu Waziri Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi Mhe Bdria Atai Masoud Akisaini kitabu cha Wageni wakati alipotembelea Banda la OR-TAMISEMIM Nyamanzi Unguja.
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA MAPINDUZIMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ZRA Prof. Hamed Rashid Hikmany akiskiliza maelezo kutoka kwa Afisa wa OR-TAMISEMIM kuhusu Miradi iliyotekelezwa..
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA MAPINDUZIMkuu wa Mkoa Kusini Unguja Mhe Hmida Mussa Khamis akisaini kitabu cha Wageni Baada ya kufika katika Banda La OR-TAMISEMIM Nyamanzi Unguja.
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA MAPINDUZIMaafisa kutoka OR-TAMISEMIM Wakitoa Elimu kwa Wananchi juu ya Miradi iliyotekelezwa na Wizara hiyo.
  • MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA MAPINDUZIMaafisa kutoka OR-TAMISEMIM Wakitoa Elimu Kuhusu Majukumu ya Ofisi kwa Wananchi waliofika katika Banda la Ofisi hiyo kwenye Maonyesho ya 12 ya Kimataifa ya Biashara Zanzibar yanayoendelea Dimani Wilaya ya Magharibi B.
  • UWEKAJI WA JIWE LA MSINGIWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa ameweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Barabara ya Mahonda - Pangatupu.
  • ZIARA YA KIKAZI KMKMMuendelezo wa Ziara ya kikazi ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa katika Makao Makuu ya Kikosi Maalum Cha Kuzuia Magendo (KMKM) Zanzibar..
  • ZIARA YA KIKAZI KVZWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa amefanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Kikosi cha Valantia Mtoni Zanzibar.
  • ZIARA YA KIKAZI JKUWaziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa amefanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Jeshi la kujenga Uchumi (JKU) Saateni.
  • UFUNGUZI WA VIWANJA VYA MICHEZOWaziri wa Nchi OR-TAMISEMIM SMZ Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa ametoa wito kwa Wizara ya Habari Sana Michezo na Utamaduni kutafuta maeneo mengine ya kujenga viwanja vya michezo ili kukuza sekta ya michezo nchini..
  • KUAPISHWA KWA WAZIRIRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa agizo kwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri kuongeza kasi ya utekelezaji wa majukumu yao..
  • HAFLA YA KUWAAGA WASTAAFUNaibu katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mikidadi Mbarouk Mzee amewataka wastaafu wa ofisi hiyo kuendeleza mazuri waliyoyapata katika kipindi chote cha utumishi wao..
  • UTIAJI WA SAINI WA JAA LA KIBELEKatibu Mkuu Ofisi ya Raisi Tawala Za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Ndugu Issa Mahfoudh Haji na Mr Ariff kutoka kampuni ya Envigenic wakitiliana saini ya amkubaliano ya kusafisha jaa kubwa la Kibele.
  • WAFANYAKAZI WA OR-TMISEMIMWafanyakazi wa Ofisi Y Rais Tawla Za MIkoa Serikali Za Mitaa Na Idara Maalum Za SMZ Wakiwaaga Watumishi waliomaliza muda wao katika Wizara hiyo.
  • TAMASHA LA MAONYESHO YA BIASHARAWafanyakazi wa OR-TMISEMIM wakishiki katika Tamasha la Maonyesho ya Biashara ya Mapinduzi kuadhimisha Miaka 61.
OR-TAMISEMIM-HABARI

Angali Habari Zote

ZIARA YA KIKAZI KVZ

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa amefanya ziara ya kikazi Makao Makuu ya Kikosi cha Valantia Mtoni Zanzibar, Ziara hiyo ni muendelezo wa Ziara ya kikazi ya kutembelea Idara


Read More

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS,TAWALA ZA MIKOA, NA IDARA MAALUM ZA SMZ.

MHE IDRISA KITWANA MUSTAFA

Serikali ya Awamu ya Nane imeendelea kujidhihirisha kwa vitendo katika kuwapatia wananchi maendeleo kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara na madaraja. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ, Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa, wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Barabara ya Mahonda- Pangatupu- Bumbwini (km 11.3) pamoja na Daraja la Pangatupu lenye urefu wa mita 100, Wilaya ya Kaskazini “B”, Mkoa wa Kaskazini Unguja. Amesema wananchi wana kila sababu ya kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, kwa juhudi zake za kuifungua Zanzibar kiuchumi kupitia uwekezaji mkubwa wa miundombinu, sambamba na kulinda Mapinduzi ya Zanzibar. Aidha, amesisitiza kuwa maendeleo lazima yaambatane na amani, umoja na utulivu.