Mafunzo ya kuwawezesha maafisa Mipango wa ORTMSMIM kutafuta fursa za kuwavutia wawekezaji kuwekeza katika maeneo Yao. |
Mafunzo ya kuwawezesha maafisa Mipango wa ORTMSMIM kutafuta fursa za kuwavutia wawekezaji kuwekeza katika maeneo Yao. |
Mafunzo ya kuwawezesha maafisa Mipango wa ORTMSMIM kutafuta fursa za kuwavutia wawekezaji kuwekeza katika maeneo Yao. |
Super User
Kamati ya kusimamia Afisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi ilipokuwa ikipokea Ripoti ya utekelezaji wa MIradi ya OR-TMSMIM. . |
Kamati ya kusimamia Afisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi ilipokuwa ikipokea Ripoti ya utekelezaji wa MIradi ya OR-TMSMIM. . |
Kamati ya kusimamia Afisi za Viongozi Wakuu wa Kitaifa ya Baraza la Wawakilishi ilipokuwa ikipokea Ripoti ya utekelezaji wa MIradi ya OR-TMSMIM. |
Ziara ya kutembelea Miradi ya maendeleo katika Shehia ya Fuoni Kipungani na Fuoni Migombani katika Wilaya ya Magharibi B. | Ziara ya kutembelea Miradi ya maendeleo katika Shehia ya Fuoni Kipungani na Fuoni Migombani katika Wilaya ya Magharibi B. |
Ziara ya kutembelea Miradi ya maendeleo katika Shehia ya Fuoni Kipungani na Fuoni Migombani katika Wilaya ya Magharibi B |
Mafunzo ya mfumo wa e-office kwa maafisa Tehama, Utumishi na Masjala kwa taasisi za OR-TMSMIM yaliyofanyika vuga. | Mafunzo ya mfumo wa e-office kwa maafisa Tehama, Utumishi na Masjala kwa taasisi za OR-TMSMIM yaliyofanyika vuga. |
Mafunzo ya mfumo wa e-office kwa maafisa Tehama, Utumishi na Masjala kwa taasisi za OR-TMSMIM yaliyofanyika vuga |
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mh. Idrissa Mustafa Kitwana akimkabidhi kazi Mkuu wa Jeshi la Kujenga Uchumi Zanzibar - JKUZ (Col. Makame Abdalla Daima) | Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mh. Idrissa Kitwana Mustafa akimkabidhi kazi Kamishna wa Chuo cha Mafunzo Zanzibar (Khamis Bakar Khamis) |
Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mh.Idrissa Kitwana Mustafa akimkabidhi kazi Kamishna wa Kikosi cha Zimamoto na Uokozi Zanzibar - KZU (Rashid Mzee Abdallah) |
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ Mh. Masoud Ali Mohammed Akizungumza na Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Hamad Khamis Hamad alipokwenda kujitambulisha Ofisini kwake Vuga.
Mhe. Masoud amesema suala la ulinzi wa raia na mali zao ni jambo muhimu ambalo litawaongezea imani wananchi kutoa ushirikano kwa Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuweza kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi.
Nae Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar amependekeza kuandaliwa kwa mafunzo ya pamoja kati ya Jeshi la Polisi na Vikosi vya Idara Maalum ili kuwajengea uwezo wa kiutendaji wapiganaji hao. Kamishna Hamad Khamis Hamad amefika Ofisini hapo ujitambulisha baada ya kuteuliwa kushika wadhifa huo hivi karibuni
Kwahabari zaidi usiache kutembelea Youtube Channel yetu OR-TMSMIM ZANZIBAR na kusubscribe
Waziri OR-TMSMIM Mh. Masoud Ali Mohammed, akifungua kikao cha ushirikiano kati ya Wajumbe wa Jumuiya za Serikali za Mitaa Tanzania na Wajumbe wa Serikali za Mitaa Zanzibar Ofisini kwake Vuga. | Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania Nd. Murshid Ngeze akizugumza katika kikao cha ushirikiano kati ya Meya na Wakurugenzi wa Manispaa za Zanzibar na Wajumbe wa Serikali za Mitaa Tanzania. |
Waziri OR-TMSMIM Mh. Masoud Ali Mohammed, akifungua kikao cha ushirikiano kati ya Wajumbe wa Jumuiya za Serikali za Mitaa Tanzania na Wajumbe wa Serikali za Mitaa Zanzibar Ofisini kwake Vuga. |
BOFYA HAPA KUPATA TAARIFA KWA NJIA YA VIDEO.