Kikao cha ushirikiano kati ya Wajumbe wa jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania na Wajumbe wa Serikali za Mitaa Zanzibar.
02 Sep 2022

Kikao cha ushirikiano kati ya Wajumbe wa jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania na Wajumbe wa Serikali za Mitaa Zanzibar.

 wz1  wz2
 Waziri OR-TMSMIM Mh. Masoud Ali Mohammed, akifungua kikao cha ushirikiano kati ya Wajumbe wa Jumuiya za Serikali za Mitaa Tanzania na Wajumbe wa Serikali za Mitaa Zanzibar Ofisini kwake Vuga.  Mwenyekiti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa Tanzania Nd. Murshid Ngeze akizugumza katika kikao cha ushirikiano kati ya Meya na Wakurugenzi wa Manispaa za Zanzibar na Wajumbe wa Serikali za Mitaa Tanzania.
 wz3  wz4
 Waziri OR-TMSMIM Mh. Masoud Ali Mohammed, akifungua kikao cha ushirikiano kati ya Wajumbe wa Jumuiya za Serikali za Mitaa Tanzania na Wajumbe wa Serikali za Mitaa Zanzibar Ofisini kwake Vuga.  
Last modified on Friday, 02 September 2022 16:53
Rate this item
(0 votes)

Wasiliana nasi


Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ

2277 Barabara ya Vuga,

S.L.P 4220,

70401 Mjini Magharibi,

Tel: +255242230034

Fax: +255242230034

Barua pepe: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

Waliotembelea Tovuti

3694703
Today
Yesterday
This Week
This Month
All days
595
663
4772
22145
3694703